Recent Posts

Ufugaji Bora wa sungura

April 09, 2022 Add Comment

Utangulizi 

 sungura ni mnyama jamai ya wanyama ambao wanakula majani pia sungura ni mnyama mdogo anae zalisha nyama nyingi kwa kipindi kifupi sungura ufugwa na kila lika kwani nilaisi kuweza kumfuga kwani hufugwa kwenye sehemu ndogo na hula chakula kidogo inakadiliwa sungura kwa mwaka uzaa watoto wengi na ubeba mimba kwa mwezi mmoja na hunyonyesha kwa wiki 8 katika wanyama raisi kufuga majumbani sungura pia ni mmoja ya wanyama wanaofungwa majumbani baadhi ya watu wanafuga sungura kwaajiri ya mapambo ya nyumba na wengine wanafuga kwaajiri ya kitoewo. 


Mabanda ya sunguru

Kuna aina mbili za ufugaji wa sungura ambazo wafugaji wengi wanatumia njia hizo ambazo ni

1 kwenye mabanda maalumu ya sungura

hii njia inatumika Sana na watu wa nnje ya bara la Africa wanatumia eneo lenye mita3 kwa mita 10 hutosha kufuga sungura 500 Kuna faida na hasara kwenye ufugaji huu wa kwenye Banda maalumu faida yake ni raisi kuwaudumia kwa wakati hata kufanya usafi pia inakusaidia kujua idadi hata magonjwa ni raisi kuwa 

changamoto zake uwe makini na muda yani lazima uweke muda kila siku kufanya Safi kuwawekea chakula maji Safi hizi  


Kuwaacha huru kwenye uzio

njia hutumika Sana vijijini na mijini kwa njia hii ni raisi Sana kwani sungura anakuwa huru na hura chakula chochote anachotaka kwa namna moja au nyingine Ina mlaisisha mfugaji kupunguza garama ya chakula na kumpa huru sungura. 

changamoto zake sungura uchimba ovyo na kipindi Cha mvua hupata magonjwa kwa hulaisi.

Anza kufuga

tafuta mbegu Bora za sungura ambazo wanauzo wa kuzaa na watoto wengi na wenye umri mkubwa hutoa nyama nyingi kwa muda mfupi hapa inabidi ujue makabira ya sungura na sifa zao.

Colifonia

huyu no sungura mwinyi sifa ya kuzaa watoto wengi kwa wakati mmoja anauwezo wa kuzaa watoto 1-12 pia sifa nyingine ya kuwa nauzito mkubwa kwa kipindikifupi ukimrisha vizur anaweza kufikia kilo 3 kwa muda wa miez mitatu sungura Hawa ufugwa kwenye joto na baridi



Dutch



Fremish giant



New Zealand white



Chinchilla

Chakula Bora Cha sungunga

hapa ndo kwenye umuimu kwa kutengeneza afya ya sungura ili uweze kupata matokea mazuri weka bidii kwe kumlisha sungura wako kwa wakati na kwakufata kanuni za ulishaji wa sungura chakula kikuu chao ni majani makavu na mabichi mbogamboga mizizi pamoja na nafaka sungunya kwenye uwezo wa kushika mimba anaitaji chakula chenye mchanganyimbo Bora protein vitamin madini chuma wanga maji Safi


Magonjwa na tiba za sungura


magonjwa yapo mengi yanayo wasumbua sungara na kuwapoteza maisha yao.


Viroboto
Hawa wadudu wanatokama na mazingira ya Banda Kama uchafu wa Banda dawa yao akheri powedr.

Minyoo

chazo kikuu Cha minyoo ni kuwalisha sungura chakula nyenye majimaji na kuwapa chakula ambacho kimealibika tiba yake ni kwawacho sindano ya minyoo kila baada miezi mitatu ant parasite 

sungura anafaida nyingi Sana ambazo mfugaji ataweza kupata kwa kufuga sungura faida ya Kwanza mfugaji anapata kufaamika na jamaa kwa ufugaji wa sungura kiutalii sungura wamekuwa kitovo kidogo Cha utalii asa kwa wanafunzi wa sayansi hata shule za misingi

faida ya pili mfugaji anaweza kutengeneza kipata pindi pale atapouza sungura kwa wateja

faida ya tatu mfugaji anaweza kuvuna mkojo wa sungura na kinyesi Chao na kutengeneza bustani ndogo nyumba kwake ya mbogamboga au kuuza mkojo wa sungura kwa wakulima kwaajiri ya kuuwa wadudu shambani 

faida ya nne kuweza kupata kitoewo Cha nyama 

faida ya tano ngozi ya sungura unaweza kutengeneza bidhaa za urembo Kama kofia viatu nk


hitimisho 

sungura ni mnyama mdogo anae zalisha nyama nyingi kwa muda mfupi pia raisi kufuga hata watoto wa Shule ya msingi wanaweza kufuga analeta kipato na chakula.

Kaya nyingi nchini zinajiusisha na ufugaji wa sungura kuku mbuzi n'gombe samaki nk.

Kati ya makundi matano ya mifugo inayo fugwa east Africa sungura ndiyo mnyama laisi kufugwa kuliko wanyama wote na wanauwezo wa kuimili magonjwa 


shukurani 

asate kwa kuweza kusoma makala ya ufugaji bora wa sungura ukiwa na Mimi mtafiti wa ufugaji Bora sharifu mussa Kama una kitu unataka uliza wasiliana na Mimi niweze kuku saidia e

sharifumussa73@gmail.com

WhatsApp +255627151094